Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Ijue timu yako iko nafasi ya ngapi katika Msimamo wa Ligi Kuu TZ Bara? Amsha nayo hapa.


Ligi Kuu Tanzania Bara bado ni story ya uzito wa juu kwenye kurasa za MICHEZO TZ.. moja ya story zilizo kwenye kurasa za michezo leo ni ile inayosomeka hivi; “Pluijm: Nimebakiza mechi tatu kutangaza Ubingwa“– Hayo kayasema Kocha wa Yanga, unadhani yatatimia ??
Nimengia ukurasa wa Instagram wa Vodacom Tanzania nimekutana na hii post; “Msimamo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara#VPL2015 baada ya mechi ya jana. Timu yako ina pointi ngapi?“–@
Unaweza kucheki hapa mtu wangu, timu yako iko nafasi ya ngapi? Ukiiona unaweza kuniandikia comment yako tuone kama kuna matumaini ya kuuchukua Ubingwa wa #VPL2015

Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Powered by Blogger.
Menu :
© Copyright AMSHA EVENTS | Distributed By Blogspot Templates
Back To Top