Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

Msaada: Ninafika Kileleni Ndani ya Dakika 1....Nashindwa Kumridhisha Msichana

Wakuu poleni na majukumu!

Sina tatizo la uume kusimama (erection) kwani unasimama tena ngangari kweli kweli!

Tatizo langu ni kuwahi kufika kileleni yaani ndani ya dakika 1 na nusu tayari kwisha habari yangu baada ya dakika kama 10.

Unasimama tena lakini ndani ya dakika kama hizo tayari nimemwaga huku nikimwacha mke wangu anaugulia.

Je wataalamu nitumia mizizi ama dawa gani ili kunusuru ndoa yangu?

Natanguliza shukrani kwenu wataalamu.
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Powered by Blogger.
Menu :
© Copyright 2025 AMSHA EVENTS | Distributed By Blogspot Templates | Designed By Code Nirvana
Back To Top