Polisi mkoa wa Mara inamshikilia mwananke mmoja (jina tunalo) mkazi wa
Bweri Manispaa ya Musoma kwa kosa la kumchoma mtoto wake mwenye miaka
minne, kwa maji ya moto, mikono yote miwili baada ya kumtuhumu kuwa
ameiba nyama jikoni.
Mama huyo alikamatwa...
Loading...
Lowasa Ajikanyaga kanyaga Alipokua Akihojiwa na Zuhura Yunus wa BBC Swahili
Siasa zetu za hapa kwetu ambazo wakati mwingine wanasiasa wanawaandaa
waandishi wa habari ili wawaulize maswali yakuwapendelea leo imekua
tofauti baada ya mh Lowasa kukutana na maswali ya BBC na Kuyajibu juu
juu bila kuingia kwa undani zaidi:
BBC:Mh...
on Thursday, 22 October 2015
Ujumbe wa Paul Kagame kwa Jakaya Kikwete, ni Mtihani Kwa CCM
UJUMBE MUHIMU WA KAGAME KWA JAKAYA KIKWETE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU!!
"Kuhubiri kuhusu demokrasia ni jambo moja na kusimamia demokrasia ni
jambo jingine!!Kama Nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki
tunafuatilia yale yanayoendelea Tanzania...
on Tuesday, 20 October 2015
Lowassa: Wananchi Anzeni Kusherekea na Kushangilia Ushindi
Huku zikiwa zimebaki siku 13, Mgombea wa Chama Cha Demokrasia na
Maendelea na anayeungwa mkono na umoja wa Ukawa Ndg. Edward Lowassa
kawataka wananchi waanze sasa kushangilia ushindi na ukombozi wa pili wa
Taifa hili.
Lowassa kasema hayo jana alipokuwa...
on Monday, 12 October 2015
Ulishawahi kuona mlo wa mchana wa Cristiano Ronaldo? basi nimekuwekea hapa mtu wangu
Michuano ya mechi za kuwania kufuzu michuano ya Euro 2016 bado inaendelea kwa michezo kadhaa kupigwa, kwa upande wa timu ya taifa ya Ureno ambao walishinda kwa goli 1-0 dhidi ya timu ya taifa ya Denmark . Baada ya ushindi huo Ijumaa ya October 9 Cristiano...
on Saturday, 10 October 2015
Magufuli Azomewa Jijini Mbeya.....Wananchi Wasema Wanamtaka Lowassa. Hapa kuna Video Mbili
Katika
hali isiyo ya kawaida,Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dr. John
Magufuli leo alijikuta katika wakati mgumu baada ya kukutana
na zomea...
on Sunday, 27 September 2015
Total Pageviews
Powered by Blogger.
Menu :