Featured

    Featured Posts

    Social Icons


Loading...

BALAAA!!!! Diamond Platnumz na Ommy Dimpoz hawaongei?…#U Heard



Kumekuwa na tetesi.. story za mitandaoni ni kwamba msanii Diamond Platnumz hayuko kwenye maelewano mazuri na rafiki yake msanii Ommy Dimpoz, lakini wote wakiulizwa wanakataa kwamba hakuna ukweli wowote.
Soudy Brown akafikishiwa story nyingine kwamba mastaa hao walikutana lakini hawakusalimiana, huku wengine wakisema kwamba Mwasiti amejaribu kuwapatanisha lakini ilishindikana.
Soudy alimtafuta Dimpoz na kumuuliza ishu hiyo, jamaa kasema alikuwa hajui kama Diamond alikuwa eneo hilo na kama angemuona lazima wangeongea… hawana ugomvi wowote kwa hiyo ishu ya Mwasiti kuwapatanisha haipo.
Get Free Email Updates to your Inbox!

Post a Comment

CodeNirvana

Total Pageviews

Powered by Blogger.
Menu :
© Copyright AMSHA EVENTS | Distributed By Blogspot Templates
Back To Top